Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 29, 2023
Habari Mpya
Samia azindua miradi ya maendeleo kuelekea Tamasha la Kizimkazi Zanzibar
Jamhuri
Comments Off
on Samia azindua miradi ya maendeleo kuelekea Tamasha la Kizimkazi Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi pamoja na viongozi wengine mara baada ya kufungua Madarasa 6 ya jengo la Skuli ya Msingi Muyuni B tarehe 29 Agosti, 2023 Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akikagua Madarasa ya Shule ya Msingi Muyuni B mara baada ya ufunguzi katika Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine katika picha ya pamoja na Walimu wa Skuli ya Msingi Muyuni B mara baada ya ufunguzi kwenye Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kufungua Chumba cha Kompyuta na ukumbi wa Mtihani wa Skuli ya Sekondari ya Muyuni B kwenye hafla fupi iliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kufungua Chumba cha Kompyuta na ukumbi wa Mtihani wa Skuli ya Sekondari ya Muyuni B kwenye hafla fupi iliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023 katika shamrashamra za kuelekea kwenye kilele cha Tamasha la Kizimkazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna kuhusu Ujenzi wa Skuli ya Maandalizi Tasani, Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Skuli ya Maandalizi Tasani, Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar tarehe 29 Agosti, 2023.
Please follow and like us:
Post Views:
177
Previous Post
Matukio Waziri Mkuu akiwa bungeni
Next Post
TMA yakagua kituo cha kutoa tahadhari za Tsunami Dar
Tanzania, Uingereza kuimarisha ushirikiano sekta ya nishati
Watu 12 wafariki 33 wajeruhiwa kwa ajali Mbeya
Hapi: Umoja na utendaji nguzo ya CCM kushika dola Uchaguzi 2024/2025
Awataka wakandarasi mradi wa umwagiliaji skimu ya Mkombozi Iringa kuongeza kasi
Waziri Jafo atembelea CBE na kutoa maagizo
Habari mpya
Tanzania, Uingereza kuimarisha ushirikiano sekta ya nishati
Watu 12 wafariki 33 wajeruhiwa kwa ajali Mbeya
Hapi: Umoja na utendaji nguzo ya CCM kushika dola Uchaguzi 2024/2025
Awataka wakandarasi mradi wa umwagiliaji skimu ya Mkombozi Iringa kuongeza kasi
Waziri Jafo atembelea CBE na kutoa maagizo
Naibu Katibu Mkuu CCM aanza ziara Shinyanga
Rais Dk Samia azungumza na wawekezaji mbalimbali nchini China
Waziri Mkuu atoa maelekezo uendeshaji mradi wa SGR
Mradi mkubwa wa maji ziwa Victoria kuinusuru Biharamulo
Rais Samia ampandisha cheo afisa wa Polisi
Shindano la kriket kufuzu Kombe la Dunia kufanyika Septemba 20
Si sahihi kufanya ukaguzi katika kaya kubaini wanaotumia kuni au mkaa
Shughuli za kibinadamu kwenye shoroba chanzo cha migongano
Rais Samia ashiriki mkutano unaohusu ukuaji wa viwanda, kilimo cha kisasa jijini Beijing
Papa na imamu mkuu wa Indonesia watoa wito wa pamoja wa amani