Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 14, 2023
Habari Mpya
Rais Dk Samia ateta na viongozi wa TLS Ikulu Dodoma
Jamhuri
Comments Off
on Rais Dk Samia ateta na viongozi wa TLS Ikulu Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati alipokutana na Viongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Harold Sungusia akizungumza mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokwenda pamoja na ujumbe wake Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Harold Sungusia pamoja ns ujumbe wake katika picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Harold Sungusia Hati ya Kiwanja kilichopo Arusha kwa ajili ya Ujenzi wa Ofisi zao mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Masoud Rukazibwa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati alipokwenda pamoja na ujumbe wake Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Viongozi pamoja baadhi ya Wanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) pamoja na Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) wakiwa kwenye Kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Please follow and like us:
Post Views:
170
Previous Post
Majaliwa: Tuuze korosho zilizobanguliwa
Next Post
Mil. 331/- yajenga madarasa kuondoa msongamano wanafunzi shule ya msingi Mambamba
Kuhifadhi mbegu za uzazi Sh milioni moja
Rais Samia azindua Kitabu cha Sokoine
Bashe atuma salamu kwa wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima wa korosho Mtwara
Mtoto Mtanzania ashinda tuzo ya Ballon D’or
Utekelezaji miradi ya maendeleo uzingatie vipaumbele vya wananchi – Kapinga
Habari mpya
Kuhifadhi mbegu za uzazi Sh milioni moja
Rais Samia azindua Kitabu cha Sokoine
Bashe atuma salamu kwa wafanyabiashara wanaowanyonya wakulima wa korosho Mtwara
Mtoto Mtanzania ashinda tuzo ya Ballon D’or
Utekelezaji miradi ya maendeleo uzingatie vipaumbele vya wananchi – Kapinga
Urusi yaushambulia mji wa Kiev kwa droni
Mayele afunguka kurudi tena Yanga
TAKUKURU yatoa uzoefu kimataifa
JKCI yaendelea kuishangaza dunia kwa matibabu ya kibingwa ya moyo
Hezbollah yathibitisha kifo cha kiongozi wake, Nasrallah
Waziri Ridhiwani aongoza kampeni ya kukabiliana na afya ya akili
Rais Dk Samia afunga Kikao Maalum cha UWT Taifa Bombambili, Songea
Lina PG Tour yafufua gofu Moshi
Rais Samia azungumza na wanafunzi, wazazi baada ya kuzindua Sekondari ya Wasichana Namtumbo
Wakati umefika wa Afrika kubadilika kwa kutumia nishati safi ya kupikia – Rais Samia