JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

TAWA yatoa madawati shule ya Msingi Changarawe wilayani Mvomero

Na Mwandishi wetu,JamuhuriMedia, Morogoro MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imetoa msaada wa madawati 60 yenye thamani ya Shillingi Millioni 5 (5,000,000) kwa Shule ya Msingi Changarawe iliyopo kata ya Mzumbe, Kijiji cha Changarawe wilayani Mvomero Mkoa wa…

Waziri Kairuki aongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki mkutano wa pili wa Shirika la Utalii Duniani

Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa Pili wa Shirika la Utalii Duniani – Kanda ya Afrika (Brand Africa ) Kuhusu Utangazaji Utalii unaoongozwa na mada isemayo: “Kuitangaza Afrika kwa lengo la…

Mitungi ya gesi ya bil.10/- kutolewa na Serikali 2024/25 – Kapinga

📌 Asema ni sehemu ya uhamasishaji wa matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Serikali kushirikiana na Wadau upatikanaji Nishati Safi ya Kupikia hadi vijijini 📌 Tanzani yatajwa kinara Nishati Safi ya Kupikia Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema…

Diwani Kimwanga : Awataka wazazi kupuuza taarifa za kutekwa kwa watoto

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Diwani wa Kata ya Makulumla Wilaya ya Ubungo, Jijiji Dar es Salaam, Bakari Kimwanga, amesema kumekuwa na taarifa nyingi zinazohusiana na kutekwa kwa watoto wakiwa shuleni ambapo amesema taarifa hizo kuwa sio nyingi…

WHO ina wasiwasi wa kuzuka mripuko wa ugonjwa wa polio Gaza

Afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameonesha wasiwasi juu ya uwezekano wa miripuko katika Gaza iliyokumbwa na vita baada ya virusi vya ugonjwa wa kupooza kugunduliwa kwenye maji taka Ayadil Saparbekov, ambae ni mkuu wa…

Democratic waonekana kumuunga mkono Harris

Makamu wa Rais,Kamala Harris ameonekana kuungwa mkono  na wajumbe wa kutosha wa Chama cha Democratic  kuteuliwa kuwa mgombea wa urais wa chama hicho. Utafiti uliofanywa na Shirika la Habari la Associated Press  umegunduakuwa zaidi ya wajumbe 1,976 wako tayari kupiga…