JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma afukuzwa ANC

Vyombo kadhaa vya habari nchini Afrika kusini vimeripoti kwamba,kamati ya nidhamu ya chama tawala cha African National Congress ANC imepitisha maamuzi ya kumtimua chamani aliyekuwa rais wa taifa hilo Jacob Zuma. Inaelezwa kwamba hatua hiyo imetokana na Zuma kukiongoza chama…

Ukraine yaendelea kuyalenga maeneo ya Urusi

Ukraine imerusha zaidi ya droni 24 kuulenga mkoa wa Urusi wa Kursk ikiwa ni sehemu ya kampeni yake ya kijeshi iliyoanza siku ya Jumamosi usiku ambayo imefanikiwa kuharibu bohari ya mafuta. Hayo yamesemwa na kaimu gavana wa mkoa huo unaopakana…

Utekelezaji mradi ujenzi wa miundombinu ya barabara Njombe wafikia asilimia 88.3 – Injinia Ruth

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Bajeti ya Matengenezo na Maendeleo ya Barabara katika mkoa wa Njombe kwa Mwaka wa Fedha 2023-24, ni Shilingi Bilioni 11.583, ambapo katika fedha hizo Miradi ya Maendeleo ni Shilingi Bilioni 7.979, Miradi katika Ushoroba wa…

Mhasibu wa Halmashauri Mbarali atiwa hatiani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Mahakama ya Wilaya Mbarali imemhukumu aliyekuwa Mhasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Bw. Joseph Werema Ndimila adhabu ya kulipa faini ya 1,100,000 au kwenda jela mwaka mmoja na ameamriwa kurejesha kiasi cha sh. 4,000,000…

URUS Tanzania kupeleka teknolojia ya uhimilishaji mifugo kutoka Marekani, Brazil maonesho ya Nanenane

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa ni sehemu ya kusaidia jitihada za kukuza sekta ya mifugo hapa nchini, Kampuni ya URUS itashiriki maonesho ya Nane nane mwaka huu katika mikoa sita ya Morogoro, Dodoma,Mbeya,Arusha, Simiyu na Kagera ikilenga…

TRC, Korea kushirikiana SGR

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Soga Shirika la Reli la Tanzania (TRC) limeingia makubaliano ya kibiashara na Shirika la Reli la Korea Kusini (Korail) yatakayoimarisha ushirikiano katika kuendeleza miundombinu ya reli barani Afrika. Makubaliano kati ya mashirika haya mawili yanaingia katika…