JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mradi wa TAZA kuunganisha umeme Afrika

MRADI WA TAZA KUUNGANISHA UMEME AFRIKA 📌 Aitaka TANESCO Kusimamia Mradi kikamilifu 📌 Ataka Wakandarasi wazembe Wachukuliwe Hatua 📌 TAZA kuiwezesha Rukwa kupata umeme wa gridi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imesema kuwa mradi…

Mawaziri wa Israel waidhinisha ulipizaji kisasi wa Netanyahu dhidi ya Hezbollah

Baraza la mawaziri la usalama la Israel limemuidhinisha hatua ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na waziri wake wa ulinzi ya kuamua ni lini na jinsi ya kulipiza kisasi cha shambulio baya la roketi dhidni ya Israel na Marekani inasema lilitekelezwa…

Sekta binafsi zishirikishwe kikamilifu suala la uhifadhi wa mazingira

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Bagamoyo IMEELEZWA kuwa ili kupata matokeo chanya katika utunzaji mazingira na uhifadhi kuna umuhimu mkubwa wa kushirikisha sekta binafsi ambazo zimeonyesha juhudi kubwa la kuleta mabadiliko katika sekta Hayo yalibainishwa wakati wa semina iliyoshirikisha wahariri iliyoandaliwa…

Kim ashiriki uokozi waathirika wa mafuriko

 Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un ameshiriki misheni ya kuokoa zaidi ya watu 5,000 waliokumbwa na mafuriko kaskazini-magharibi mwa Korea Kaskazini, vyombo vya habari vya serikali viliripoti Jumatatu. Mvua kubwa iliyonyesha Jumamosi ilisababisha mto kwenye mpaka wa Korea Kaskazini…

Yanga kucheza na Red Arrows Siku ya Wananchi

Kuelekea kilele cha siku ya Mwananchi Agosti 04, 2024, klabu ya Yanga imetangaza kucheza na klabu ya Red Arrows kutoka nchini Zambia Akizungumza na wanahabari mapema leo katika ofisi za Yanga, Afisa muhamasishaji Haji Manara amesema Red Arrows ambao ni…