JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Samia kuzindua rasmi Reli ya mwendo kasi Dar-Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kuzindua rasmi Reli ya mwendokasi(SGR)Agosti Mosi mwaka huu iliyoanza safari zake Julai 25 kutoka Dar Es Salaam hadi Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary…

Dk Biteko awakemea watumishi wanaokwamisha wafanyabiashara

📌 Azindua Sera ya Taifa ya Biashara 📌 Awataka Watanzania kujiandaa kushindana 📌 Norway yampongeza Rais Samia kuagiza marejeo mfumo wa kodi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….

ACT Wazalendo : Wimbi la uporaji na migogoro ya ardhi tunasimama na wananchi

Chama cha ACT Wazalendo kimetoa msimamo wa kuunga mkono na kuongoza mapambano ya wananchi katika kukabiliana na wimbi kubwa la uporaji wa ardhi nchini. Viongozi wa chama wamesikitishwa kukutana na kero ya migogoro, uporaji na operesheni za Serikali kuwaondoa wananchi…

Watanzania wanga’ara tuzo za kimataifa

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tuzo za Kimataifa za Heshima ambazo hutolewa kwa watu maalum kwa kutambua mchango ambao hutolewa na watu hao katika jamii husika zimefanyika nchini kwa mara kwanza mwaka huu. Tuzo hizo maarufu kama (I-CHANGE…

Mama mzazi wa Halima Mdee afariki

Mama Mzazi wa Mbunge Halima Mdee, Theresia Mdee, amefariki dunia leo Julai 30, 2024 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu. Mama Mdee alilazwa katika Hospitali hiyo mara kadhaa kwa matibabu ambapo mara ya mwisho kabla ya umauti…

Waziri Jerry Silaa atembelea TCRA Dar

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa leo ametembelea ofisi za Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zilizoko jijini Dar es Salaam. Amepokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabir Kuwe….