JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Tanzania, Morocco zafurahia uhusiano

Waziri wa Katiba na Sheria Dk Pindi Chana amesema Tanzania na Morocco zinafurahia uhusiano wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili uliosaidia kuleta manufaa katika sekta mbalimbali. Akizungumza Dar es Salaam kwenye maadhimisho ya miaka 25 tangu kutawazwa Mfalme…

DRC Congo na Rwanda kumaliza mapigano

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa DRC Congo na Rwanda wamekubaliana kuanza mazungumzo ya kurejesha amani Mashariki mwa DRC  Congo. Uamuzi huu umekuja  baada ya kufanyika  kikao maalum huko Luanda nchini Angola kilichohudhuriwa na wawakilishi wa pande hizo mbili Thérèse…

TAKUKURU kuchunguza miradi ya bil 34/ Tanga

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa wa Tanga imeanza uchunguzi wa miradi 79 yenye thamani ya sh Bil 34.5 iliyobainika kuwa na mapungufu katika sekta mbalimbali sambamba na uliyokuwa na mapungufu wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2024. Afisa…

Serikali yahitimisha kwa mafanikio zoezi la utoaji elimu ya fedha Mtwara

Na Chedaiwe Msuya, WF, Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Fedha imehitimisha mafunzo ya elimu ya fedha Mkoani Mtwara ikiwa ni  juhudi za kuimarisha uelewa wa masuala ya kifedha miongoni mwa wananchi.  Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Ofisi…

Rais Dk. Mwinyi kushiriki uzinduzi wa SGR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi atashiriki Uzinduzi  wa Usafiri wa Treni ya Umeme kwa kutumia Reli ya Kisasa (SGR). Uzinduzi wa mradi wa SGR utafanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…