JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Mwinyi awasili uwanja wa ndege wa kimataifa akitokea Zimbambwe

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na  Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimia na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdalla na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana…

NLD wazindua rasmi kampeni Handeni, Doyo atoa wito kufanya siasa za kistarabu

Na Oscar Assenga,Handeni Katibu Mkuu wa Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo amezindua rasmi kampeni za wagombea wa chama hicho kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kata ya Kwedukwazu wilayani Handeni huku akitoa wito kwa viongozi wa chama hicho…

Huduma za kisheria kusogezwa karibu na wananchi

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza S. Johari ametembelea Jengo la Ofisi la Mwanasheria Mkuu wa Serikali lililoko jijini Arusha tarehe 21 Novemba 20224. Jengo liko katika hatua ya ujenzi na likikamilika litasaidia kusogeza huduma za Sheria kwa wananchi pamoja na…

Bukombe wanataka maendeleo na maendeleo ni CCM – Dk Biteko

* Asema Vyama Vishindane kwa Sera na Utekelezaji wa Ahadi *WanaCCM Bukombe Waaswa Kuimarisha Ushirikiano * Azindua Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bukombe Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe,…

Mhandisi Samamba awasisitiza maafisa madini kusimamia usalama wa migodi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Ismail Samamba amewataka Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa kuweka nguvu kwenye usimamizi wa usalama na mazingira kwenye migodi ya madini hasa katika msimu huu wa…

Serikali yasisitiza uchaguzi wa viongozi bora

Na Daniel Limbe, JammhuriMedia, Chato SERIKALI imewataka wananchi kutumia demokrasia yao kuwachagua viongozi bora watakao kuwa tayari kutatua changamoto za jamii badala ya kuwaachia watu wengine kufanya maamuzi ambayo hayana tija kwa umma. Kauli hiyo imetolewa kwa nyakati tofauti na…