JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Iran yaapa kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya kiongozi wa kisiasa wa Hamas Haniyeh

Rais wa Irani Masoud Pezeshkian anasema ataifanya Israel “ijutie” mauaji ya “uoga” ya Haniyeh, akiongeza kuwa Iran “italinda hadhi ya eneo lake, fahari ya heshima na utu”. Katika taarifa iliyonukuliwa na shirika la habari la AFP, rais wa Iran alimtaja…

Waziri Mkuu ahani msiba wa mama yake mzazi Halima Mdee

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni sanaa na Michezo Gerson Msigwa, alipofika kuhani msiba wa marehemu Bi. Theresia Mdee ambaye ni mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee nyumbani kwake Area D…

Mlongazila kupandikiza meno bandia

Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila inatarajia kufanya kambi maalum ya kupandikiza meno bandia kwa njia ya kisasa itakayofanyika kuanzia Septemba 02 hadi 06, 2024. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Upasuaji Dk Godlove Mfuko amesema kambi hiyo itahusisha Madaktari Bingwa wa…