JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Aziz Ki abeba tuzo nne

Na Isri Mohamed Kiungo wa kimataifa wa Yanga, Stephanie Aziz Ki amebeba tuzo nne usiku wa kuamkia leo katika hafla ya ugawaji tuzo ya wanamichezo bora wa soka kwa msimu uilopita 2023/24 iliyoandaliwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania…

Simba yamtambulisha Mlinda mlango mpya

Na Isri Mohamed Klabu ya Simba imemtambulisha mlinda lango wao mpya, Moussa Camara (25), Rais wa Guinea akitokea klabu ya AC Horoya ya nchini Guinea. Simba imesajili nyanda huyo kuchukua nafasi ya golikipa wao namba mopja, Ayoub Lakred, ambaye atakuwa…

Dk Biteko afunga maonesho ya Nanenane nyanja za juu Kusini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Agosti 2, 2024 amezindua Sherehe za Maonesho ya Wakulima – Nane Nane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na kutembelea mabanda mbalimbali ya maenesho katika katika Viwanja vya…

Rais Samia: SGR siyo ndoto tena

*Azindua treni ya kisasa, vituo vyapewa majina ya marais *Ni treni ya umeme ndefu kuliko zote Afrika, ya tano duniani *Tayari wamekusanya bilioni 3.1, umeme inatumia milioni 1 *Inasafirisha watu 7,000 kila siku, Mama Mosha atoa ya moyoni Na Deodatus…