Year: 2024
Simba Day yang’ara
Wachezaji wa Kikosi cha Simba Sc wakishangilia goli wakiwa katika mchezo wa kirafiki wa kuhitimisha Tamasha la 16 la Simba DAY uliopigwa katika dimba la Benjamini Mkapa Agosti 3, 2024, Dar es Salaam, katika mchezo huo wamefanikiwa kuibuka na ushindi…
Wizara ya Nishati, Mtibwa wajadili ujenzi njia ya umeme
π Ni ya msongo wa kilovoti 132 π Ni kufuatia ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Mtibwa π Bilioni 28 kutekeleza miradi ya umeme Vijijini Mvomero Morogoro Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amesema, Wizara ya…
Shindano la ‘KCB East Africa Golf Tour’ laanza rasmi Lugalo gofu
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shindano la Wazi la “KCB East Africa Golf Tour”limeanza Rasmi siku ya Leo katika Klabu ya Gofu ya ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari…
Historia yaandikea utekelezaji mradi wa chuma Maganga Matitu
Hπ Ni Mradi wa Dola Milioni 77 kwa Maendeleo ya Viwanda Nchini π Utafiti Waonesha Uwepo wa Tani Milioni 101 za Chuma π Dkt. Biteko Ahimiza Wananjombe Kutumia Fursa za Mradi πTANESCO, REA Wapewa Siku 5 Kushauri Namna ya Kufikisha…
Wanasheria watatua migogoro ziara ya Rais Samia Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro TIMU ya wanasheria wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeambatana na Rais Samiua Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro kwaajili ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi. Rais Samia yuko katika…
Bodi ya Kahawa yaja na Mgahawa unaotembea
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BODI ya Kahawa imezindua mradi wa mgahawa unaotembea maeneo mbalimbali yenye mikusanyiko ya watu ili kuweza kutoa huduma ya unywaji wa Kahawa. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya wakulima na wafugaji…