JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

CCM yasaka ushindi wa kishindo Mbogwe

📌 Dkt Biteko Asema CCM inaeleza joja, wengine maneno 📌 Dkt. Biteko awataka wananchi kuchagua viongozi watakaotatua shida zao 📌 Mbogwe yapiga hatua kimaendeleo 📌 Dkt. Biteko asema uchaguzi ni mipango na CCM imejipanga Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri…

Tanzania, Uganda kuendelea kuimarisha ushirikiano

📌 Ni katika kuendeleza Sekta za Mafuta na Gesi 📌 Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi wafikia asilimia 47 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amesema nchi za Tanzania na Uganda zitaendelea kushirikiana katika uendelezaji wa miradi…

Zaidi ya bilioni 10 skimu ya umwagiliaji Masimba kunufaisha wakulima 24,000 Singida

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye ni mbunge wa Iramba Magharibi ameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kuendelea kuboresha sekta ya kilimo nchini kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwani hatua zinazochukuliwa zitaboresha maisha ya…

Jussa :ACT yajipanga kulinda kura na kuleta maendeleo Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa, amewaomba wananchi wa Mtaa wa Komesho, Kata ya Msambweni, Jimbo la Tanga Mjini na vijiji vya jirani kuwaamini wagombea wa chama hicho kwa kuwapigia kura katika uchaguzi…

Wananchi Babati wamshukuru Rais Dk Samia kuwafungulia barabara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Manyara Wananchi wa Kata ya Babati wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa madaraja saba (7) pamoja na kufungua barabara katika kata hiyo ambapo kwa kipindi kirefu wamekuwa wakipata…

Mil. 455/- kusambaza mitungi ya gesi 22,000 Tabora

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi ipatayo 22,785 mkoani Tabora ukiwa na lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia…