JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rwanda yafunga makanisa 4,000

Zaidi ya makanisa 4,000 yamefungwa katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita nchini Rwanda kwa kushindwa kuzingatia kanuni za afya na usalama, ikiwa ni pamoja na kutozuiliwa ipasavyo. Hatua ihiyo imeathiri zaidi makanisa madogo ya Kipentekoste – baadhi yanafanya ibada nje…

VETA yawaita wananchi kutembelea banda lao Nanenane

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetoa wito kwa wananchi kutembelea banda lao lililopo katika Viwanja vya maonesho ya Kilimo na Ufugaji (Nanenane) ili kuona fursa mbalimbali zinazopatikana katika mamlaka…

UDOM yawashauri wakulima, wafugaji kutumia mbinu na teknolojia kukuza sekta ya kilimo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Rose Mdami ametoa wito kwa wakulima nchini kutumia mbinu na teknolojia mbalimbali za kilimo, mifugo na uvuvi walizozibuni kwa lengo la…

NIC: Wakulima jiungeni na Bima ya Kilimo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI wa Masoko na Mawasiliano wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Karimu Meshack ametoa wito kwa Wakulima nchini kujiunga na Bima ya Kilimo. Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonesho ya…

Wasimulia wanavyonufaika na Kampeni ya Mama Samia Legal Aid Morogoro

Na Mwandishi Wetu, Morogoro WANANCHI wanaopata msaada wa kisheria za mama Samia Legal Aid zinazoendelea kutolewa kwenye maonyesho ya Nane nane mkoani Morogoro wameelezea namna walivyonufaika na huduma hizo. Wakizungumza mkoani hapa jana, wananchi hao walimpongeza Rais Samia Suluhu Hassan…