JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

TARURA yaeleza umuhimu wa maabara katika ujenzi wa barabara zenye viwango

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma FUNDI Sanifu Mkuu Maabara kutoka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Jacob Manguye amesema kuwa barabara nyingi zinafeli na kushindwa kuwa za kiwango kutokana na watu wengi kutokupima udongo kabla ya kuanza ujenzi….

TAKUKURU Kinondoni yapokea malalamiko 8, yaendelea na mapambano

Na Magrethy Katengu–Jamuhuri media Dar es salaam Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kinondoni imesem katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Aprili hadi Juni 2024 imepokea jumla ya malalamiko 88 huku yanayohusu rushwa yakiwa 32 na yasiyohusu rushwa…

Mradi kijani hai wawa neema kwa wakulima wa pamba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MRADI wa Kijani Hai unaotekelezwa katika Mkoa wa Simiyu na Singida chini ya ufadhili wa Laudes Foundation ya nchini India na kutekelezwa na Giz na Helvetas Tanzania umewezesha zaidi ya wakulima 60,000 kulima Pamba kwa…

AU yaomba vyombo vya habari kuiandika vizuri Afrika, kulinda uhuru wa habari

Mussa Juma, [email protected] Umoja wa Afrika (AU), umeviomba vyombo vya habari barani Afrika kuandika vizuri habari za Afrika ikiwepo masuala ya uhamaji wafanyakazi ndani ya Afrika na nje ya Afrika. Kumekuwepo na ongezeko la uhamaji wa wafanyakazi kutoka watu 17.2…

TCAA: Njooni mjifunze matumizi ya ndege nyuki

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WAKULIMA na wadau wa mbalimbali wametakiwa kuhudhuria mafunzo pamoja na kuwa na leseni ya uendeshaji wa matumizi ya ndege nyuki maarufu (DRONES) badala ya kutumia vifaa hivyo kiholela. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa…

ERIO: Tembeleeni FCC kupata elimu kuhusu bidhaa bandia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Ushindani (FCC) imetoa wito Kwa wananchi pamoja Wakulima kuyatumia maonesho ya Nanenane kupita katika Banda lao kupata elimu itakayowasaidia kuepukana na kujishughulisha na bidhaa bandia na vitendo vingine ambavyo haviruhusiwi na…