JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

TPA bingwa mashindano ya SHIMMUTA 2024

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imeibuka kidedea baada ya imefanikiwa kunyakuwa Ubingwa wa Jumla wa Mashindano ya SHIMMUTA kwa mwaka 2024 katika michuano iliyofanyika jijini Tanga. Katika mashindano hayo ambayo yalifungwa rasmi na…

Yanga VS Al Hilal ni kesho

Na Isri Mohamed Klabu ya soka ya Yanga inatarajia kushuka dimbani kesho Novemba 26, kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika (CAFCL) hatua ya makundi, dhidi ya AL Hilal ya Sudan. Akizungumza kwenye mkutano wa wanahabari, Kocha wa Yanga, Saed…

Tanzania yashinda tuzo ya utalii duniani

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imefanikiwa kushinda tuzo ya kuwa eneo maridhawa zaidi kwa utalii wa safari duniani katika hafla ya ugawaji tuzo za utalii duniani (World Travel Awards) zilizofanyika nchini Ureno. Tuzo za World Travel Awards…

Kairuki yaja na teknolojia kutibu saratani bila upasuaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Dk Fredy Rutachunzibwa wa Kairuki hospitali ambaye ni Mtanzania wa kwanza kufuzu mafunzo ya kutibu saratani kwa kutumia teknolojia ya HIFU (High-Intensity Focused Ultrasound), ameeleza namna tiba hiyo inavyotolewa bila upasuaji. HIFU ni…

Dk Biteko ahimiza Watanzania kupiga kura Novemba 27, 2024

📌 Asisitiza Kupiga Kura ni Haki ya Kikatiba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewahimiza Watanzania kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Dkt. Biteko ametoa rai hiyo leo Novemba 25,2024 akiwa mkoani…

Sho Madjozi atangaza rasmi kuacha muziki

Na Isri MohamedRapa wa kike kutoka Afrika Kusini, Sho Madjozi ametangaza rasmi kuachana na muziki mara tu baada ya kuachia albamu yake. Sho Madjozi amethibitisha hilo akiwa kwenye mahojiano na kituo cha SABC News Online, ambapo amesema. “Ndio naachana na…