JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

EWURA CCC yatumia maonesho ya wakulima kuelimisha matumizi sahihi ya gesi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Maonesho ya Wakulima(Nanenane)yakiwa yanaendelea Jijini hapa, Baraza la Ushauri la watumiaji wa huduma za Nishati na Maji (EWURA CCC) limeendelea kutimiza wajibu wake kwa kuwaelimisha wananchi namna ya matumizi sahihi ya gesi. Hatua hii itawasaidia…

Mbaroni kwa tuhuma za kusambaza uongo kifo cha binti aliyedhalilishwa

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji kwa kina Amos Lutakulemberwa Lwiza ( 54) mkazi wa Kinondoni Tegeta Wazo kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo na uzushi za kifo…

Simba, Yanga kuumana kesho kwa Mkapa

Na Isri Mohamed Klabu za watani wa jadi, Simba na Yanga zinatarajia kuumana kesho katika dimba la Mkapa jijini kwenye mchezo wa nusu fainali ya ngao ya jamii. Makocha wa timu zote mbili wamezungumza na wanahabari na kuelezea walivyojipanga kuoneshana…

Mtoto aliyechinjwa na ‘housegirl’ aruhusiwa kutoka hospitali

Na Isri Mohamed Mtoto Malick Hashim (6) aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili tangu julai 15, baada ya kuchinjwa na kitu chenye ncha kali shingoni na anayedaiwa kuwa ni dada wa kazi, ameruhusiwa kutoka hospitalini hap oleo Agosti 07,…

Uturuki kujiunga kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel

Uturuki itawasilisha maombi kwenye mahakama ya Umoja wa Mataifa ya kujiunga katika kuishtaki Israel kwa mauaji ya kimbari. Mashtaka hayo yaliwasilishwa na Afrika Kusini. Uturuki ni miongoni mwa nchi zilizojiunga hivi karibuni ili kushiriki katika kesi hiyo. Rais wa Uturuki,…

Marekani yakamilisha kujiondoa kijeshi Niger

Marekani imekabidhi kambi yake ya mwisho ya kijeshi kwa mamlaka ya Niger. Kambi hiyo ilikuwa mojawapo ya vituo viwili muhimu vya Marekani katika mapambano yake ya kukabiliana na ugaidi. Wizara za Ulinzi za Marekani na Niger zilitangaza kwenye taarifa ya…