Year: 2024
Kristo alizaliwa Afrika Mashariki?
Na Joseph Mihangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam “Yuko wapi yeye aliyezaliwa, Mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki na tumekuja kumsujudia.”Haya ni maneno ya Mamajusi (wenye busara) wa Mashariki waliofika Yerusalemu kwa ajili ya kumsujudia na kumpa zawadi…
Tusherehekee Krismas na mwaka mpya tukijivunia mabadiliko makubwa sekta ya nishati
Katika kusherehekea SIkukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025, Watanzania hatuna budi kujivunia safari ya mafanikio katika Sekta ya Nishati, hususan umeme. Je Unajua kabla ya kupata Uhuru mwaka 1961 Nchi ilizalisha umeme kwa kutumia mafuta ambapo kila mkoa ulijitegemea…
CCM Tabora wamfariji mjane wa kada aliyejiua
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora VIONGOZI na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Tabora wametembelea familia ya mjane wa Kada wa CCM Jastin Magembe aliyejiua kwa sumu baada ya mgombea wao kushindwa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Katibu…