JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

TPHPA yawashauri wakulima kuendelea kutumia mbegu za asili

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA) imetoa wito kwa wakulima nchini kuendelea kutumia mbegu za asili ili zisiweze kupotea. Wito huo umetolewa na Kaimu Meneja wa Kitengo cha Uhifadhi wa Bioanuai kutoka Mamlaka…

DASPA: Wakulima tumieni mbegu ya mtama aina ya TARUSOR1

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WAKULIMA wa zao la Mtama wameshauriwa kutumia mbegu ya mtama aina ya TARISOR1 kwa kuwa mtama huo hauliwi na ndege kama ilivyo kwa mtama mwingine. Ushauri huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Wakulima…

Watanzania ikimbilieni VETA kupata ujuzi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Prof. Sifuni Mchome ametoa wito kwa Watanzania kwenda VETA kujifunza ili kuweza kupata ujuzi wa aina mbalimbali. Ameyasema hayo jana jijini Dodoma…

Rais wa Tunisia amfuta kazi waziri mkuu

Rais Kais Saied wa Tunisia amemfuta kazi waziri mkuu wake, Ahmed Hachani, bila kutoa maelezo yoyote na badala yake kumteuwa waziri wake wa masuala ya kijamii, Kamel Madouri, kuchukuwa wadhifa huo. Kupitia mitandao ya kijamii cha ofisi yake, Saied anaonekana…

Miradi mitano yenye thamani ya bilioni 7/- yabainika kuwa na kasoro Ruvuma – TAKUKURU

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Mkoa wa Ruvuma,katika kipindi cha miezi sita imefuatilia jumla ya miradi 31 yenye thamani ya Sh.bilioni 19,681,124,604.63 kati ya hiyo miradi mitano yenye thamani ya Sh.bilioni 7,053,240,916.51 imebainika…

Mwanariadha akabidhiwa bendera ya Taifa CRDB Marathon

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imemkabidhi bendera ya taifa mwanariadha, Imelda Mfungo,ambaye ataiwakilisha nchi katika mashindano ya CRDB Marathon nchini Burundi. Mwanariadha huyo ambaye amepata fursa ya kushiriki mashindano hayo ambayo yameandaliwa kwa mara ya kwanza na Benki ya…