JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Serikali kuongeza fursa za kidigitali kwa vijana kuleta maendeleo kiuchumi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ifikapo Agosti 12,Serikali imesema itaendelea kuzingatia matumizi ya fursa za kidijitali kwa vijana ili kuwapa fursa ya maendeleo endelevu kwa kuwapatia ujuzi wa kidijitali ili kuleta maendeleo ya kiuchumi na…

NFRA yaanza kutumoa mizani ya kidigitali kupimia mazao

Na Richard Mrusha, JamhuriMedia, Dodoma WAKALA wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA) ,umeanza kutumia mfumo wa kidijitali katika kupima mazao ya Nafaka ili kuleta tija kwa wakulima. AFISA Mtendaji Mkuu wa NFRA Dkt.Andrew Komba ameyasema hayo katika maonesho ya wakulima…

TCRA: Ongezeeni umakini katika matumizi ya simu, usifungue link usiyoijua

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MKUU wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Rolf Kibaja amewataka wananchi kuongeza umakini katika matumizi ya simu za mkononi na mtandao wa intaneti na kutofungua au kutosambaza…

Breaking News; Mzee Magoma ashindwa kesi, atakiwa kulipa faini

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu mkazi Kisutu imetengua hukumu waliyoitoa ya kuwataka viongozi wa Yanga wakiongozwa na Rais Injinia Hersi Said kung’oka madarakani. Hukumu hiyo ilitolewa baada ya wanachama kadhaa wa Yanga wakiongozwa na Mzee…

Watakiwa kueneza elimu ya mkataba wa Cites kulinda viumbe hai

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Morogoro Shirika la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyamapori (WWF), limewataka wadau wa uhifadhi nchini,kutoa elimu kwa jamii juu ya utekelezaji wa mkataba wa Kimataifa wa Biashara ya Wanyamapori, mimea iliyo hatarini kutoweka (CITES) kwa maendeleo endelevu…

SAGCOT yaishukuru USAID kwa kuendelea kutoa ufadhili katika miradi mbalimbali

Na Tatu Mohamed JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Mpango wa Kuendeleza Kilimo Ukanda wa Kusini mwa Tanzania (SAGCOT), Geoffrey Kirenga ameishukuru Serikali ya Marekani kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kw kuendelea kutoa ufadhili katika miradi mbalimbali…