JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

RC Chalamila : Marufuku ombaomba barabarani, wazagaaji

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amepiga marufuku uzagaaji wa watu kwenye maeneo yote ya msingi kama vile Tanzanite bridge na Ubungo, watoto wa mitaani na ombaomba barabarani ambapo amewaagiza Wakuu wa Wilaya kuwafukuza na wengine kuwakamata…

Wananchi chukueni tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ‘ Red eyes’

Na Mwandidhi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Afya imewaasa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa macho mekundu (Red eyes) maambukizi ya Kirusi kwenye ngozi ya juu ya gololi ya jicho yajulikanayo kitaalamu “Viral Keratoconjunctivitis” iliyoibuka nchini hivi karibuni. Hayo yamesemwa…

Polisi yanasa silaha ya kivita, watuhumiwa wafariki kwa kurushiana risasi na Polisi

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi ambao umri wao haujafahamika wamefariki wakati wakisharushiana risasi na askari Polisi waliokuwa doria wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma ambapo inadaiwa walikuwa wakienda kufanya uharifu kijiji cha Msabula Kata ya…