Year: 2024
Tanzania yapokea meli kubwa ikiwa na watalii zaidi ya 2000 kutoka nchini Norway
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meli ya watalii ya Norwegian, inayomilikiwa na kampuni ya Norwegian Cruiseline Holdings ya Marekani, kutoka nchini Norway yenye urefu wa mita 294 imewasili katika bandari ya Dar es Salaam ikiwa na jumla ya…
Waziri Mkuu aongoza kikao cha 10 cha Kamati ya Kitaifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Kitaifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip, Uwanja wa Ndege Zanzibar, jana Januari 15,…
Naibu Waziri wa Uchukuzi Kihenzile atembelea banda la TPA
Banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA limeendelea kuwa kivutio kwa watembeleaji wa maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Zanzibar yanayoelekea ukingoni. Mbali na unadhifu wa Banda linalopambwa na picha kubwa za Bandari mbalimbali, kivutio kingine ni mifano…
Majaliwa : Sekta ya mawasiliano ni kichocheo cha maendeleo nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia IBARA 18 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kuwa “Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli…
Wachezaji waliotemwa na kusajiliwa Simba
DIRISHA dogo la usajili limefungwa rasmi Januari 16, 2024 huku tukiwashuhudia vigogo Simba wakisajili mashine mpya na kuwaacha baadhi ya wachezaji wale wa kimataifa na kitaifa kwa maana ya wachezaji wa ndani. Simba ilifikisha idadi ya wachezaji 15 wakigeni jambo…
Kila la kheri Stars kesho
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kinatarajia kushuka dimbani kuvaana na timu ya taifa ya Morocco kesho Januari 17, 2024 huko nchini Ivory Coast katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika {…