JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

DCEA yatangaza kiama kwa wazalishaji, wauzaji na wasafirishaji dawa za kulevya

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma MAMALAKA ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya (DCEA) kupitia oparesheni zake mbalimbali imebaini watoto wengi waliocha shule na waliotelekezwa mitaani ndiyo wengi wanaotumika kwenye magendo ya kusafirisha dawa za kulevya kwenye maeneo mbalimbali…

Polisi watoa ufafanuzi kupotea baba, mtoto Geita, kuchunguza waliopotea

Na Abel Paul,Jeshi la Polisi, Dodoma Jeshi la Polisi nchini limetoa ufafanuzi wa taarifa iliyo ripotiwa katika baadhi ya vyombo vya Habari ambayo ilikuwa na kichwa cha habari kisemacho, kashfa Polisi yahusishwa na kutekwa kwa Baba na mwanawe. Akitoa taarifa…

Serikali yatangaza fursa kwa wadau wa TEHAMA

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kwa kushirikiana na Washauri elekezi wa Chuo Kikuu cha Hanyang cha Korea wamefungua rasmi maandalizi ya ujenzi wa Chuo cha TEHAMA Dodoma ambacho kitakuwa na uwezo wa kudahili wanafunzi…

Pinda awafunda watendaji sekta ya ardhi Mwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amewafunda watendaji wa sekta ya ardhi katika jiji la Mwanza kwa kuwataka kusimamia sekta hiyo kwa kuzingatia kanuni, taratibu na miongozi ya sekta hiyo. Amesema,…