JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Ofisi ya Msajili, PSSSF, WCF waingia ubia kumiliki kiwanda cha chai Mponde

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Msajili wa Hazina kwa kushirikiana na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), pamoja na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), wameingia ubia wa kumiliki Kiwanda Cha Chai cha Mponde…

TANESCO tumieni umeme uliopo kufanya matengenezo – Dk Biteko

📌 Hakikisheni Watanzania wanapata umeme wa uhakika 📌 Asema Rais Samia ameweka msukumo kuimarisha sekta ya Nishat 📌 TANESCO Kujenga vituo vya kanda kudhibiti mifumo ya umeme Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu…

Mbunge Kibaha, DC Kibaha waungana kuanzisha kliniki ya wasanii

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini Silvestry Koka na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson John, wameungana kuanzisha kliniki ya wasanii kwa ajili ya kuibua vipaji ili kuwainua na kuwaendeleza walengwa . Koka aliyaeleza hayo,…

Miili yote 62 yapatikana katika ajali ya ndege ya Brazil

Miili yote imepatikana katika eneo la ajali ya ndege katika jimbo la São Paulo nchini Brazil na kusababisha vifo vya watu wote waliokuwa ndani ya ndege hiyo, mamlaka imethibitisha. Timu zilikuwa zikifanya kazi kutafuta na kutambua waathirika wa janga hilo…

Tuzo ya Chem Chem yawasili nchini, Serikali yapongeza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Babati Hatimaye tuzo ya Uhifadhi unaoshirikisha jamii ,iliyoshinda mwezi uliopita Taasisi ya Uhifadhi na Utalii ya Chem Chem Safaris, iliyopo eneo la hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge(Buruge WMA), wilaya Babati Mkoa wa Manyara,imewasili nchini…

Balozi Kombo, Chumi wateta na Makamu wa Kwanza w Rais Zanzibar

Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Zanzibar WAZIRI wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo na Naibu wake katika Wizara hiyo, Cosato Chumi wamejitambulisha rasmi na kufanya mazungumzo Ofisini kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa…