JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Wadau Serikali mtandao wakutana kujadili matumizi ya TEHAMA Arusha

Na Zulfa Mfinanga,Jamhurimedia, Arusha Agizo la Rais la kuzitaka Taasisi za serikali kufanya kazi kidigitali linaendelea kutekelezwa ambapo leo wadau wa serikali Mtandao (eGA) wamekutana jijini Arusha kwa kikao cha siku tatu cha kujadili matumizi ya TEHAMA serikalini. Kikazi kazi…

Ushawishi wa Tanzania Duniani unategemeana na sera ya Mambo ya Nje inayorekebishwa

Na Mwandishi Maalum Imeelezwa kuwa ili Tanzania iweze kufikia malengo ya Maendeleo iliyojiwekea, lazima iwe na Sera Bora ya Mambo ya Nje inayozingatia maoni na matakwa ya makundi yote ya wadau nchini. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi…

Mchengerwa : Imarisheni ulinzi wa vifaa vipya vya TEHAMA shuleni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha wanaimarisha ulinzi na kufikisha kwenye vituo teule vifaa vya TEHAMA vilivyogawiwa kwa vituo zaidi ya…

Usambazaji dawa kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubaini kufanyiwa majaribio

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Serikali imekamilisha kuingiza vituo vyote kwenye mfumo wa kuhifadhi taarifa zote za vituo kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Taifa ili kuufanyia majaribio na pia kutazama gharama za…

Dk Mwinyi akutana na sekretarieti za CCM Mikoa na Wilaya Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na sekretarieti ya kamati maalum, sekretarieti za Mikoa na Wilaya CCM Zanzibar katika kikao chake cha kwanza…