Year: 2024
Ikupa Foundation yawashika mkono wenye mahitaji maalum
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mbunge wa viti maalum Stella Ikupa ametoa wito kwa wadau mbalimbali kuendelea kusaidia makundi ya watu wenye uhitaji wakiwemo walemavu ambao wamekuwa na mahitaji mengi. Aidha ametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watu wenye ualibino mkoani hapa…
Naibu Waziri Pinda ataka upendo kwa watumishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda ametaka kuwepo upendo miongoni mwa watumishi ili waweze kutekeleza majukumu kwa ufanisi. Aidha, amewataka watumishi hao wa sekta ya ardhi kufanya kazi kwa bidii…
Serikali yaweka mikakati kuhakikisha usalama wa mtoto mtandaoni
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar ea Salaam Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Makundi Maalumu imesema inakwenda kuweka Mkakati Madhubuti ikiwemo kufanya mapitio ya sheria na kanuni itakayokwenda kusaidia kudhibiti Ukatili wa watoto Mtandaoni. Ameyasema hayo leo Februari…
Majaliwa aongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri kuhusu nishati safi ya kupikia
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri kuhusu Nishati safi ya kupikia, katika ukumbi wa Spika, bungeni jijini Dodoma. Kikao hicho pia kimehudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko.
Kikwete: Changamoto Serikali Mtandao ziwekwe kwenye mpango mkakati wa taasisi
Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media, Arusha Miongoni mwa changamoto zilizowasilishwa katika kikao kazi cha nne cha Serikali Mtandao (e-AGA) ni mifumo ya TEHAMA kutowasiliana na kuendelea kuwapo kwa udurufu wa mifumo. Katika hotuba ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti…