Year: 2024
Dk Biteko awasili Mbeya kwa ziara ya kikazi
Aeleza jitihada za Serikali kupunguza changamoto ya umeme Aipongeza Mbeya kwa utekelezaji miradi ya maendeleo Asisitiza siasa zisiwagawe wananchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko, leo amewasili mkoani Mbeya kwa ziara…
Sekta binafsi ni mdau wa uchumi na maendeleo- Rais Mwinyi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inaiangalia sekta binafsi kwa mtazamo chanya wa kuwa mdau muhimu wa uchumi na maendeleo. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Mkutano mkuu…
Hekta 469,000 za misitu hupotea kila mwaka
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki amesema kuwa takwimu za sasa zinaonesha kuwa takribani eneo la misitu lenye ukubwa wa hekta 469,000 kila mwaka linapotea nchini. Amesema ni muhimu pia kwa wadau…
Yanga VS CR Belouizdad ni Paccome day
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Yanga dhidi ya CR Belouizdad, afisa habari wa Yanga, Ali Kamwe ameitangaza siku hiyo kuwa maalum kwa mchezaji Paccome Zouzoua ‘Paccome Day’. Mchezo huo wa kundi…
Serikali, Benki ya Dunia wakutana kujadili mradi wa Tanzania ya Kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia-WB, wanaendelea na majadiliano ya namna ya utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya kidijitali, ambapo wataalam kutoka katika Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Ofisi ya Rais,…
Polisi na IHET waja na mifumo kudhibiti shule za udereva zisizokuwa na sifa nchini
Na Abel Paul,Jeshi la Polisi- Arusha Katika kuhakikisha mifumo inaondoa changamoto na malalamiko kwa wananchi hususani katika shule za udereva ambazo hazijasajiliwa, Jeshi la Polisi na Taasisi ya Mitambo Mizito na Teknolojia IHET wamekuja na mfumo uitwao (DSRS) Driving School…