JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

JWTZ waibuka mshindi wa jumla mashindano ya BAMMATA

Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Luteni Jenerali Salum Haji Othuman amemuwakilisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda kuwaongoza Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kufunga mashindano ya Baraza la Michezo ya…

Waziri Bashe: Rais Samia hana deni kwa Watanzania katika sekta ya kilimo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema Rais Dk.Samia Suluhu Hassan hana deni kwa Watanzania katika sekta ya kilimo hivyo watendaji wa Wizara wana wajibu wa kuhakikisha yote yanayofanywa na serikali yanatekelezeka. Amesema, Rais Dk. Samia…

Tuvumiliane na kuheshimiana kama Watanzania -Dk Biteko

📌 Mamia ya Wakatoliki Wamiminika Uwanja wa Uhuru Kongamano la Ekaristi Takatifu 📌 Watanzania Wahimizwa Kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto…

Askofu Bagonza : Mfumo uliopo unaruhusu kupiga kura na si kuchagua

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Dkt Benson Bagonza amesema ifike hatua nchi iwe na mfumo unaotoa uhuru wa kupiga kura na kuchagua na siyo kama ilivyo sasa ambapo…

Rais wa Komoro aliyeshambuiwa na Polisi kwa kisu anaendelea vyema

MAAFISA nchini Komoro wamesema kuwa Rais Azali Assoumani’hayuko hatarin’ baada ya kujeruhiwa siku ya Ijumaa kwa kisu na Polisi mwenye umri wa miaka 24, ambaye baadaye alipatikana amekufa. Maafisa nchini Komoro walisema kuwa Rais Azali Assoumani hayuko hatarini baada ya…

Watu 37 wahukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC

MAHAKAMA ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliwahukumu kifo watu 37, wakiwemo raia watatu wa Marekani, baada ya kuwatia hatiani kwenye mashitaka ya kushiriki katika jaribio la mapinduzi. Akisoma hukumu hiyo siku ya juzi mjini Kinshasa, Jaji Meja…