JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

BAKWATA Tabora wafanya ibada maalum kumwombea hayati Mwinyi

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Burian ameungana na Mashehe wa Mkoa huo, waumini wa dini ya Kiislamu na mamia ya wakazi wa Mkoa huo kumwombea dua Rais Mstaafu wa awamu ya pili…

Taasisi ya DIWO yawakutanisha wanawake, yawaonya kutobaguana

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Kuelekea siku ya wanawake duniani inayoadhimishwa kila mwaka Machi 8,Taasisi isiyo ya Kiserikali inalojihusisha na masuala ya Wanawake nchini ya Dira Women(DIWO )imewakutanisha wanawake wa Mkoa wa Dodoma katika usiku wa mwanamke, uchumi na familia ili…

ACT – Wazalendo wazindua sera ya jinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimezindua Sera ya jinsia ikiwa ni mwelekeo na jitihada za chama hicho kuongeza ushiriki wa wanawake katika vyombo vya maamuzi. ACT Wazalendo kimekuwa chama cha kwanza cha siasa kuwa…

Dk Ibenzi aeleza namna Serikali ilivyoitua mzigo Hospitali ya Rufaa Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Waganga wafawidhi wa hospital za rufaa Tanzania bara Dk. Stanslaus Ibenzi ameeleza kuwa kwa sasa Hospitali hiyo haielemewi na wagonjwa kutokana na Serikali kuwekeza…