Year: 2024
Mwekezaji adaiwa kuharibu mashamba, wanawake wamlilia mama Samia Lupunga Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Kaya zaidi ya 900 za Kijiji cha Lupunga, mkoani Pwani wamo hatarini kukumbwa na njaa baada ya kinachodaiwa mwekezaji kuvamia mashamba na kuharibu mazao kinyume cha sheria. Akizungumza hivi karibuni kwa niaba ya wananchi, Mwenyekiti…
Mkurugenzi NHIF atembelea hospitali ya Regency, huduma zarejea kama kawa Regency
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ujumbe wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, (NHIF) umetembelea hospitali ya Regency ya Upanga jinjini Dar es Salaam na kuzungumza na uongozi ambapo wamekubaliana hospitali hiyo kuendelea kutoa huduma wakati masuala…
Jaji Mkuu: Mfumo wa mahakama jitihada za Mwinyi
Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amesema mabadiliko katika katiba ya nchi, mfumo wa mahakama, mahakama ya kadhi uliopo leo umetokana na jitihada za Hayati Ali Hassan Mwinyi. Amesema pia Hayati Mzee Mwinyi atakumbukwa katika utawala wa sheria…
Waandishi wa habari wana jukumu la kusaidia kutoa elimu ya mabadiliko ya hali ya hewa
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Vyombo vya Habari nchini wametakiwa kuendesha ajenda ya hali ya Mabadiliko ya hali ya Hewa kuanzia ngazi ya chekechea mpaka ngazi ya chuo. Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi, Hellen Utaru amesema waandishi wa…
Wanachama NHIF wafurahia huduma za JKCI Hospitali ya Dar Group
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wameipongeza Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group iliyopo TAZARA wilayani Temeke kwa huduma bora za matibabu inazozitoa kwa wagonjwa….