JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Matumizi ya nishati safi ya kupikia yameanza rasmi – Dk Biteko

📌 Agawa mitungi ya Gesi na Majiko Banifu kwa Wajasiriamali Dar es Salaam 📌 Ataka taasisi kuachana matumizi ya kuni na mkaa 📌 Ahimiza wadau kuunga mkono juhudi za Serikali 📌 Baadhi ya Wajasiriamali wafunguka Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar…

Viwanja 10,000 kupimwa awamu ya pili kwa wanaohamia kutoka Ngorongoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Msomera Jumla ya viwanja 10,000 vinatarajiwa kupangwa na kupimwa katika sehemu ya eneo lililokuwa Pori Tengefu la Handeni awamu ya pili kwa ajili ya wakazi wanaohamia kutoka hifadhi ya Ngorongoro. Hayo yamebainishwa tarehe 7 Machi 2024…

UWT yahamasisha wanawake kujisajili na umoja huo kidigitali

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kusherehekea Siku ya Wanawake dunia ambayo hufanyika Machi 8, kila mwaka, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umekuja na kampeni maalum ya kuhamasisha wanawake na wasichana kujisajili na umoja huo kielekloniki (Kidigitali). Akiitambulisha…

Mfanyabiashara ajiua kwa risasi Urambo

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Mfanyabiashara maafuru Wilayani Urambo Mkoani Tabora Ramadhani Ntunzwe (53) amejiua kwa  kujipiga risasi kichwani akiwa nyumbani kwake . Kamanda wa Polisi Mkoani hapa SACP Richard Abwao amethibitisha kutokea tukio hilo Machi 6 mwaka huu majira ya…

Dk Mpango afungua mkutano wa 21 wa Taasisi za Fedha Arusha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa washiriki wa Mkutano wa 21 wa Taasisi za Fedha kutafakari kwa kina changamoto ya uhaba wa fedha za kigeni na hatua gani za muda…

DC Katavi atoa siku saba kwa aliyehamisha mto kuurejesha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf ametoa siku saba kwa mwekezaji wa machimbo ya madini aina ya dhahabu , Anseimo Mjinga, aliyehamisha mto uliopo Kijiji cha Mtisi Kata ya Sitalike kusimamisha…