JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

TMX : Tumeanza msimu wa korosho 2024/2025

Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Bidhaa Tanzania – TMX Godfrey Marekano ameeleza kuwa maandalizi ya uuzaji na uunuzi wa Korosho msimu 2024/25 yameanza na yanaendelea vizuri. Marekano amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake Jijini Dar…

Kunenge : Wananchi watoe maoni Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 – 2050

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Serikali mkoani Pwani ,imehimiza wananchi kutoa maoni yao ili kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025-2050 kwa manufaa ya vizazi vijavyo pamoja na kuwa na Tanzania yenye Neema, Amani na Uchumi. Akitoa rai kwa wananchi…

Mkutano wa MICO Halal waibua mambo kuhusu umuhimu wa bidhaa za Halal

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam UKUBWA wa soko la bidhaa za Halal duniani umeendelea kuongezeka kutoka Dola trilioni 1.2 miaka 10 iliyopita hadi kufikia dola trilioni 2.29 mwaka jana. Hayo yamesemwa leo na mtoa mada Salum Awadh wakati…

DAWASA watakiwa kuongeza nguvu kukomesha wizi wa mita

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameitaka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA) kukomesha wizi wa mita za maji ambao hivi sasa umekithiri katika maeneo mbalimbali jijini humo….