Year: 2024
FCC yapania kukuza ushindani wa biashara kwa haki
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMediaDar es Salaam Tume ya Ushindani (FCC) imedhamiria kutoa elimu kwa Watanzania juu ya namna nzuri ya kufanya biashara bila kudidimiza sera na taratibu za ushindani za ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Akizungumza leo Jijini…
ACT Wazalendo wayakataa matokeo ya Uchaguzi wa serikali za mitaa
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es salaam SIKU chache baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji nchini , Uongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo umeibuka kupinga matokeo hayo na kuwataka viongozi wao katika ngazi hizo wasitoe…
Watoto wa kike 184 waokolewa na Polisi matukio ya ukatili
Na Mwandishi Jeshi la Polisi, Dodoma. Jeshi la Polisi Nchini limesema Katika kushiriki Maadhimisho ya siku 16 za kupinga Ukatili wa Kijinsia kwa mwaka 2024 litashirikiana na Wadau mbalimbali kufanya Maadhimisho hayo katika Kanda Maalum ya Kipolisi Tarime Rorya ambapo…
Gari la shule lagongana na gari la JWTZ Mtwara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Watu 23 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Shule ya Msingi Salem baada ya kugongana na gari la Jeshi la Wananchi (JWTZ) katika eneo la Migomigo Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara. Ajali hiyo imetokea Novemba…
CPA Makalla alaani mauaji, watu kujeruhiwa uchaguzi Serikali za Mitaa
Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) CPA Amoss Makallla amesema Chama hicho kinalaani matukio mbalimbali yaliyotokea yakiwemo ya mauaji na watu kujeruhiwa wakati wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa. Aidha amelitaka Jeshi…
CCM yataja sababu nne zilizofanya washinde kwa kishindo Serikali za Mitaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetoa sababu nne ambazo zimefanya Watanzania kuendelea kukiamini na kuchagua wagombea wa Chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na miongoni mwasababu ambazo zimefanya washindi ni uwepo wa migogoro…