Year: 2024
DK Mpango kumwakilisha Rais katika mkutano wa dharura SADC Zambia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Utatu wa Asasi mbili za Jumuiya…
TMX yapaisha mapato Kagera
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Mfumo wa Unununuzi wa Mazao kwa njia ya Mtandao unaoedeshwa na Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), umeongeza ushuru wa mapato mkoani Kagera kwa zaidi ya asilimia 200. Kwa misimu miwili Serikali kupitia Soko la Bidhaa…
Bil. 431 kutekeleza miradi ya barabara za kimkakati Kagera
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Serikali ya Awamu ya Sita imetoa kiasi cha Sh bilioni 431 kwa kipindi cha miaka mitatu kwa ajili ya kutekeleza miradi ya barabara za kimkakati, ili kuhakikisha Mkoa wa Kagera unaunganisha barabara zake na mikoa…
Mpango mgeni rasmi siku ya misitu duniani
Na Mwandishi Maalum Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Phillip Mpango atarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Siku ya Upandaji Miti Kitaifa yanayotarajiwa kufanyika Machi 21, 2024. Kuelekea siku hiyo, Waziri wa Maliasili…
Diamond ampa pole Rais Dk Mwinyi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Wasafi, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platinumz’ kufuatia kifo cha baba yake…
Makamba azindua kamati maalum ya kukiimarisha Chuo cha Kimataifa cha Kidiplomasia
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January Makamba amezindua kamati maalum itakayosimamia na kushughulikia chuo Cha uhusiano wa kimataifa Diplomasia cha Salim Ahmed Salim. Akizungumza na waandishi wa habari jijini…