JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Kombo asisitiza amani na usalama katika kanda ya SADC

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Harare Zimbabwe Tanzania inashiriki kikamilifu juhudi za kutafuta amani ndani ya kanda, barani Afrika na duniani ikiwa ni pamoja na kuchangia gharama zake. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

Bilioni 146 kutumika matengenezo ya dharura ujenzi wa madaraja Lindi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Kuanzia Oktoba, 2023 hadi kufikia Mei, 2024 Tanzania ilikumbwa na kadhia ya mvua kubwa zilizotawala zikichangiwa na tukio la asili la hali ya hewa El-Nino pamoja na Kimbunga Hidaya lililoathiri hali ya hewa nchini na…

Changamoto uchakataji mkonge kupatiwa ufumbuzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga CHANGAMOTO ya uhaba wa mashine za kuchakata Mkonge (korona) inayowakabili wakulima katika maeneo yao inatarajiwa kuwa historia hatua itakayochochea ongezeko la uzalishaji wa zao hilo. Hatua hiyo imetokana na ziara ya Wajumbe wa Bodi ya…

Ubalozi waadhimisha miaka 78 ya Uhuru wa India

Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Historia ya Uhuru wa taifa la India ilianzia katika kipindi cha ukoloni ambapo taifa hilo lilipata kutawaliwa na waingereza kuanzia miaka ya 1858 mpaka mwaka 1947 ambapo utawala wa muingereza ulitamatika rasmi kupitia mfumo…

Tanzania ipo tayarri kutumia fursa ya soko la pamoja kuuziana umeme – Dk Biteko

đź“ŚNi kufuatia uwepo wa fursa hiyo kwa nchi 13 wanachama wa EAPP đź“ŚMawaziri waridhia uwepo wa kitengo huru cha masoko cha kuuziana umeme đź“ŚWanachama EAPP watachangia Megawati Elfu 90 kwenye soko la pamoja la kuuziana umeme Kampala, Uganda Tanzania imejipanga…

RC Makonda aagiza jengo jipya la abiria uwanja wa ndege Arusha kuanza kutumika Septemba Mosi, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda leo Ijumaa Agosti 16, 2024 ameagiza kukamilika haraka kwa ujenzi wa jengo la abiria kwenye uwanja wa ndege wa Arusha (Kisongo), ili kuwezesha jengo hilo kuanza kufanya kazi Septemba Mosi mwaka huu….