JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

ACT-Wazalendo yataka NEC ijiuzulu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ijiuzulu yote kupisha kuundwa kwa Tume Mpya itakayopatikana kwa utaratibu wa ushindani. Aidha chama hicho kimetaka Mapendekezo yaliyoainishwa na Tume ya Haki…

Shaka atoa siku tano kupata majibu ujenzi ICU chini ya kiwango

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa mradi wa ujenzi wa Jengo la Wagonjwa Mahututi (ICU) katika hospitali ya wilaya hiyo lililogharimu Sh. milioni 278 ambalo ujenzi…

Serikali ya Awamu ya Sita yaendelea kufanya vizuri ukusanyaji mapato

Na Lilian Lundo – Maelezo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Mobhare Matinyi, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato…

Waongoza utalii wachachamaa, watoa saba, wamuomba Rais Samia aingilie kati

  Waongoza utalii Mkoa wa Arusha,wametoa siku saba kwa rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati na kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazowakabili ili kufikia malengo ya Serikali iliyojiwekea katika sekta ya utalii. Akiongea  kwenye mkutano wa pamoja uliokutanisha vyama mbalimbali vya waongoza…

TPA yatoa ufafanuzi ajira DP World

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema kuwa imewapa watumishi wake nafasi ya kuchagua ama kubaki TPA au kusitisha mkataba wa ajira na TPA na kuajiriwa na Kampuni ya DP World ya Dubai. TPA imesema hayo katika taarifa yake…

Tanzania yatajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 30 yenye maambukidhi ya TB

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Jamhuri Wakat leo ni siku ya Kifua Kikuu (TB) Duniani, Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi 30 zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa ya ugonjwa huo. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Health Promotion Tanzania(HDT), Dk…