JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Amuua mwanamke kwa kumnyonga na kamba

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia,Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora linamshikilia mtu mmoja (jina limehifadhiwa) kwa tuhuma za kumuua Juliana Mbogo (40) mkazi wa Mtaa wa Maselele kata ya Cheyo katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora. Kamanda wa Jeshi la Polisi…

Wakandarasi mradi wa TAZA ( kv 400) watakiwa kukamilisha kazi kwa wakati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Leo Agosti 17, 2024 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameongoza kikao cha Tatu cha Kamati ya Uongozi ya Mradi wa usafirishaji umeme wa msongo wa kilovoti 400 wa Tanzania- Zambia (TAZA) kilichofanyika…

Rais Hichilema ampa tano Rais Samia kwa usimamizi bora wa demokrasia

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Zimbabwe Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Sululu Hassan kwa usimamizi bora wa demokrasia na kuwa Tanzania ya mfano. Akizungumza kwa njia ya mtandao wakati…

TRC kuimarisha mifumo dhidi ya udanganyifu wa tiketi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Reli Nchini (TRC) Limekiri kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu kwa baadhi ya abiria wa Treni ya umeme (SGR) kwa kukata tiketi za kushuka njiani na baadae kupitiliza vituo wanavyopaswa kushuka ikiwa ni…

Rais Samia amefanya umeme kuwa si anasa – Kapinga

📌 *Tanzania kufuta historia ya Vijiji kutokuwa na umeme 📌 Kati ya Vijiji 12,318 bado Vijiji 151 tu kufikiwa na umeme 📌 Wananchi watakiwa kutunza miundombinu ya umeme Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano…