Year: 2024
Mbunge Rweikiza awahakikishia wananchi kupata maji, ampa tano rais Samia
Na Bwanku M Bwanku, JamhuriMedia, Kagera Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini lililopo mkoani Kagera amewahakikishia wananchi wa kata ya Kemondo kwamba ndani ya mwezi mmoja ujao mradi wa maji Kemondo utakua umeanza kutoa maji na wananchi watapata huduma hiyo…
DAWASA waanza utekelezaji agizo la Rais Samia kwa kurejesha huduma bila faini
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji, Jumaa Aweso la kuwarudishia huduma ya maji wateja waliositishiwa huduma kwa msamaha wa kutolipa…
PURA yapongezwa usimamizi wa miradi ya CSR
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha…
Polisi yajipanga kulinda usalama Sikuku ya Pasaka, viwanja vya michezo
Na Mwandishi wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam Ikiwa imesalia siku kadhaa kuelekea sikukuu ya Pasaka ambayo itaanza maadhimisho yake siku ya Ijumaa Kuu Machi 29, 2024 na baadae kufuatiwa na mkesha sikukuu yenyewe wananchi wameombwa kutoa taarifa za viashiria au…
Mabasi mawili, lori vyateketea kwa moto, wawili wafariki Mlandizi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watu wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa ,katika ajali iliyohusisha magari matatu likiweno bus kampuni la abiria New Force,Sauli na lori la mafuta kuteketea kwa moto alfajir ya Machi 28 eneo la Ruvu, Mlandizi…