JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Msajili vyama vya siasa aongoza kikao cha mashauriano cha vyama vya siasa wanachama TCD

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, akiongoza Kikao cha Mashauriano cha Vyama vya Siasa Wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), ambacho, mbali ya viongozi wa vyama hivyo, pia kilihudhuriwa na mawaziri na manaibu waziri wakiwakilisha upande…

Jarida la mkulima mbunifu lafikia wakulima 100,000

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam ZAIDI ya wakulima 100,000 wameweza kushiriki kilimo ikolojia hai baada ya kupata elimu kupitia Mradi wa Jarida la Mkulima Mbunifu ambalo linatoka mara moja baada ya miezi miwili. Hayo yamesema na Meneja Mradi…

Bilioni 4.6 kupeleka umeme maeneo ya migodi Ruvuna -Kapinga

📌 Asema Serikali itaendelea kupeleka umeme maeneo ya uwekezaji 📌 Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Ruvuma Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali imetenga takribani shilingi bilioni 4.6 kupeleka umeme kwenye maeneo ya migodi…

Kamanda wa Hezbollah auawa katika shambulizi la anga

JESHI la Israel limesema limemuua hivi leo kamanda wa kundi la wanamgambo la Hezbollah katika shambulio la anga kusini mwa Lebanon. Mwanamume huyo aliuawa karibu na mji wa pwani wa Tiro. Awali, Wizara ya Afya ya Lebanon ilitangaza kwamba mtu…

TIC yatoa semina kwa wafanyabiashara Ruvuma

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa semina elekezi kwa wafanyabiashara, wajasirimali na wawekezaji  wa Mkoa wa Ruvuma ambayo imelenga kuwahamasisha wawekezaji kusajili  biashara zao sambamba na kufahamu fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo ndani ya Mkoa wa Ruvuma na nchini kwa…

‘Kuna faida nyingi Tanzania kuwa mwenyekiti wa Troika SADC’

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Zimbambwe Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa kuchaguliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mwenyekiti wa  Asasi ya Siasa,…