Year: 2024
Israel yaishambulia Lebanon huku Hezbollah ikilenga kituo cha kijeshi
Israel imesema ililenga shabaha nchini Lebanon Jumatatu jioni baada ya kuapa kulipiza kisasi kwa shambulio la Hezbollah kwenye kituo cha kijeshi, huku pande zote mbili zikilaumiana kwa kukiuka usitishaji vita wa wiki iliyopita. Takriban watu tisa waliuawa na mashambulizi ya…
Abdul Nondo : Nikizungumza kilichotokea nitauliwa
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo Abdul Nondo amedai kuwa ametishiwa kuuawa endapo atasimulia kilichotokea baada ya kutekwa na wateaji “Ukitoka hapa nenda moja kwa moja nyumbani kwako. Tunapajua vizuri na usizungumze kokote juu ya kilichotokea, pia tusikuone…
UN: Hali ya Gaza ni ya kutisha na ni janga kubwa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas akisema hali ya Gaza ni ya kutisha na janga kubwa ambalo ulimwengu hauwezi kuendelea kupuuza. Kauli ya Guterres ilitolewa katika…
Madiwani Kenya watembelea TARI Tengeru kujifunza kilimo
Madiwani kutoka kaunti ya Eligeyo-Marakwet nchini Kenya wametembelea Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha TARI Tengeru kilichopo Arusha kwa lengo la kujifunza shughuli zinazofanywa kituoni hapo ili kuweza kushauri Serikali nchini kwao kutokana na uzoefu wa kazi zinazofanyika nchini Tanzania. …
Wananchi washauriwa kuchangamkia fursa ya uwepo wa kambi ya madaktari bingwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wapatao 32 wamewasili mkoani Njombe kwa kambi ya Siku tano (5) iliyoanza leo Desemba 2 hadi Desemba 6, 2024 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe. Akizungumza katika hafla…
Mkoa wa Pwani kuwakutanisha wawekezaji na wafanyabiashara Desemba 16 – 20
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unatarajia kukutanisha wafanyabiashara, wawekezaji na wajasiriamali kwenye Maonyesho ya Biashara ya awamu ya nne yatakayofanyika Desemba 16 hadi 20, 2024, katika viwanja vya Mailmoja, Stendi ya zamani, Kibaha. Maonyesho hayo yatafunguliwa rasmi…