JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Makamu wa Rais Dkt Mpango awapongeza DAWASA

Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Makamu wa Rais , Dkt. Philip Isdori Mpango ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Ibihwa, Wilayani Bahi, Mkoani Dodoma, Dkt. Mpango amesisitiza kuongeza kasi ya uchimbaji wa visima ili wananchi…

Baba, mama lishe 5,000 kupata elimu umuhimu nishati safi ifikapo 2023-2026-INTERFINi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mama lishe na baba Lishe zaidi ya 70 katika Wilaya ya Kibaha ,mkoani Pwani ,wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kutoka Kampuni ya INTERFINi kwa ushirikiano wa Maestro Afrika na kudhaminiwa na…

Serikali yamwaga bilioni 4.6/- kuwezesha umeme maeneo ya migodi Ruvuma

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia,Mbinga SERIKALI imetoa kiasi cha sh. Bilioni 4.6 kwa ajili ya kupeleka umeme kwenye maeneo ya migodi mkoani Ruvuma ambapo kiasi cha sh.milioni 280 zimepelekwa katika mgodi wa Market Insight Limited (MILCOAL) uliopo katika Kijiji cha Paradiso…

Dk Mpango awasili Dodoma kuanza ziara ya kikazi siku nne

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwaajili ya kupokea taarifa ya Mkoa na kuanza rasmi ziara ya kikazi ya siku nne mkoani humo. Tarehe…

Tanzania mwenyeji mkutano wa mafuta, gesi Machi 2025

*Wadau Sekta ya Nishati zaidi ya 1000 kushiriki *Dkt. Biteko awataka wadau kushirikiana kuelekea mkutano huo *Nishati Safi ya kupikia kupewa kipaumbele Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameshiriki…

Rais Mwinyi : Mwinyi tamasha la Kizimkazi ni fursa ya utalii na uwekezaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, Dk. Mwinyi amesema Tamasha la Kizimkazi ni fursa muhimu kwa Mkoa wa Kusini kuongeza vivutio vya utalii na kuwavutia wawekezaji kuwekeza katika mkoa huo. Rais Dk….