JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Ufunguzi wa kogamano la tatu la Chama cha Madereva wa Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akioneshwa vitendea kazi vya ufundi wa magari na Mkurugenzi wa Ufundi na Matengenezo TEMESA Hassan Kalonda, kwenye ufunguzi wa Kongamano la Tatu la Chama Cha Madereva wa Serikali, uliyofanyika katika ukumbi wa AICC Arusha Agosti 20,…

Serikali kuongeza thamani ya tanzanite

 Serikali imesema ina mpangokazi wa kupandisha thamani ya soko la madini ya tanzanite kwenye soko la dunia. Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema hayo wakati akihutubia wafanyabiashara wa tanzanite, wamiliki wa migodi ya madini hayo, wachimbaji na wauzaji. Mkutano huo…

TMA yawahimizwa wadau kutoa maoni na kujipanga na utabiri wa msimu wa vuli

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imekutana na wadau kutoka sekta mbalimbali nchini ili kujipanga na Utabiri wa Msimu wa Vuli 2024 katika ukumbi wa PSSSF, jijini Dodoma. Akifungua mkutano huo jana, Mwenyekiti wa…

Serikali ya Ruto kurejesha vipengee vya mswada wa fedha

Serikali ya Kenya imesema italazimika kurejesha baadhi ya hatua za ulipaji kodi ambazo zilifutwa baada ya kuibuka maandamano makubwa mwezi Juni. Hatua ya Serikali ya Kenya ni jambo linalozidisha hatari ya kutokea machafuko zaidi katika taifa hilo la Afrika Mashariki….