JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

DK Nchemba aihakikishia Jumuya ya Kimataifa kuboresha mifumo ya kodi

Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameihakikishia Jumuiya ya Kimataifa na Watanzania kwa ujumla kwamba Serikali inaendelea kuweka na kuboresha mazingira ya uwekezaji ikiwemo kuboresha mifumo yake ya kodi. Dkt. Nchemba…

Rais Mwinyi akutana na Balozi wa India nchini Tanzania Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi wa India Nchini Tanzania Mhe.Bishwadip Dey, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-8-2024, alipofika Ikulu Zanzibar kwa…

‘Milango ipo wazi kwa watoto kufikia ndoto zao’

Leo Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Skuli ya Maandalizi ya Tasani ikiwa ni muendelezo wa mchango wa Benki ya NMB katika kuchangia ukuaji wa elimu nchini. Kwa kutambua mchango wa Serikali ya…

Halmashauri Pwani zatakiwa kusimamia malengo ya utekelezaji wa mkataba wa lishe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Halmashauri mkoani Pwani zimetakiwa kutumia fedha zinazotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za lishe kama zilivyopangwa pamoja na kutenga fedha za vibao vya ufuatiliaji wa makuzi ya watoto katika kila kituo. Ofisa lishe mkoani…

Mbowe wafundishe CHADEMA siasa za Tanzania

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kati ya Agosti 10 na 12, 2024 wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wapatao 520 walikamatwa Mbeya na mikoa mingine ikiwamo Dar es Salaam, Iringa, Dodoma. Wafuasi hawa walikamatwa kutokana na…

Dk Mwinyi amsifu Samia kuimarisha umoja

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amemsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuimari sha umoja na uzalendo. Dk Mwinyi alisema hayo katika viwanja vya Kizim kazi Dimbani wilayani Kusini Unguja jana wakati akizindua tamasha la Kizimkazi mwaka 2024. ‘’Ninapenda kumpongeza…