JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Mkutano wa kimataifa wa uwekezaji sekta ya madini Tanzania kuwavuta wawekezaji duniani – Mavunde

Asema Tanzania Iko tayari kwa Uongezaji Thamani Madini ๐Ÿ“Dar es Salaam. Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amebainisha kuwa Tanzania iko tayari kuvutia Wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali kupitia Mkutano wa 5 wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini, unaotarajiwa…

Wizara ya Nishati yashiriki tamasha la Kizimkazi Zanzibar

๐Ÿ“Œ Yatoa huduma moja kwa moja kwa Wananchi kupitia Taasisi zake ๐Ÿ“Œ Nishati safi ya kupikia, yawa ajenda ya kuvutia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar. Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake leo Agosti 21, 2024 zimeshiriki katika Tamasha la…

DK. Mpango aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la mto Hurui

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Daraja la mto Hurui lililopo kata ya Kikore Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma huku akiwahimiza wananchi wa kata…

Wakili Mbedule apiga โ€˜Jekiโ€™ Halmashauri ya Iringa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepata msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Wakili wa kujitegemea na mdau wa maendeleo, Jimbo la Kalenga, Sosten Mbedule ambaye ametoa seti sita za vifaa vya michezo na mipira…

WHO: Mpox sio aina mpya ya UVIKO

Shirika la Afya Duniani WHO limetoa tamko rasmi leo Jumanne la kusisitiza kwamba ugonjwa wa homa ya nyani unaosababishwa na virusi vya mpox, sio ugonjwa mpya wa UVIKO unaosababishwa na virusi vya corona. Tamko hilo limetolewa baada ya kuibuka kwa…

Rais mstaafu Kikwete akutana na Makamu wa Rais Nigeria jiini Abuja

ABUJA, Nigeria โ€“ Agosti 21, 2024 โ€“ Makamu wa Rais wa Nigeria Mhe. Kashim Shettima ametoa wito wa kuimarisha ushirikiano kati ya Nigeria na Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ujumuishaji wa kikanda na juhudi za pamoja ili kufanikisha ukuaji na umoja…