JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Macha : CCM itawaweka pembeni wote wanaosaka ubunge, udiwani kwa kuvunja kanuni

Atoa agizo Ofisi za CCM mikoani kuwafuatilia wote *Akemea vikali tabia za kuanzisha ligi za Mbuzi Cup, Ng’ombe Cup kwa lengo la kusaka uongozi huo kabla ya muda_ . *Asema Wanojaribu kutaka Ubunge kwa sasa Chama kitawaweka pembeni wote ifikapo…

Dk Biteko akutana na wazee, viongozi wa dini Bukombe

📌 Awashukuru kwa ushirikiano mkubwa wanaompatia 📌 Awaasa kukemea vitendo viovu katika jamii 📌 Wazee na Viongozi wa dini wampongeza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini kutoka madhehebu…