JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Watu 30 wafa kwa tetemeko Japan

Watu 30 wameripotiwa kufa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga pwani ya katikati mwa Japan siku ya mwaka mpya huku Waziri Mkuu Fumio Kishida akionya uwezekano wa majeruhi kuongezeka. Tetemeko hilo la Richter 7.6 lilipiga eneo la Peninsula ya…

Macha : CCM itawaweka pembeni wote wanaosaka ubunge, udiwani kwa kuvunja kanuni

Atoa agizo Ofisi za CCM mikoani kuwafuatilia wote *Akemea vikali tabia za kuanzisha ligi za Mbuzi Cup, Ng’ombe Cup kwa lengo la kusaka uongozi huo kabla ya muda_ . *Asema Wanojaribu kutaka Ubunge kwa sasa Chama kitawaweka pembeni wote ifikapo…

Dk Biteko akutana na wazee, viongozi wa dini Bukombe

📌 Awashukuru kwa ushirikiano mkubwa wanaompatia 📌 Awaasa kukemea vitendo viovu katika jamii 📌 Wazee na Viongozi wa dini wampongeza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa dini kutoka madhehebu…