JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Dk Mpango: Uwekezaji unaofanywa na Serikali sekta ya umwagiliaji utamaliza tatizo la njaa nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAKAMU wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt.Philip Mpango amesema uwekezaji unaofanywa na serikali katika sekta ya Umwagiliaji unaenda kuandika historia ya kumaliza tatizo la njaa nchini na kulijengea Taifa heshima kupitia…

Mavuno lapongeza kuimarisha ndoa Kagera

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Karagwe LICHA ya mikakati mikubwa ya serikali kufikisha huduma ya maji safi na salama kwa wananchi waishio mijini na vijijini,baadhi ya wakazi wa vijiji vya Lukole,Ihanda,Rulalo na Chonyonyo, wamelishukuru shirika lisilo la kiserikali ya Mavuno Project…

TMA, waandishi wajadili namna ya kufikisha taarifa za utabiri mvua msimu wa vuli

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekutana na waandishi wa habari kujadili namna bora ya kuwafikishia habari wananchi juu utabiri wa mvua za msimu wa vuli unaotarajiwa kuanza mwezi Oktoba mpaka mwezi…

TAWIDO : Yawaomba wadau mbalimbali kuunganisha nguvu ili kudhibiti vitendo

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia wanawake, wasichana na watoto Tanzania Women Initiative for development organization ( TAWIDO) limetoa wito kwa Mamlaka za kiserikali na zisizo za kiserikali…

Uwepo wa TAWA waongeza hadhi ya tamasha la Kizimkazi

Na Beatus Maganja,JamuhuriMedia, Zanzibar Mtangazaji nguli, na mwandishi wa habari mashuhuri Africa Mashariki na Kati aliyekuwa akitangaza kipindi cha Dira ya Dunia katika Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) ambaye kwasasa anafanya kazi na Redio/TV ya Crown FM/TV iliyopo nchini,…

Baraza la Madiwani Kibaha Mji lamuomba Rais Samia kuendeleza ardhi ya Shirika la Elimu⁸

Na Victor Masangu, JamhuriMedia, Kibaha Baraza la Madiwani katika  Halmashauri ya mji Kibaha limemuomba Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwapatia baadhi ya eneo la ardhi ambayo inamilikiwa na shirika la elimu Kibaha ili waweze kuiendeleza katika shughuli mbali mbali za kiuchumi…