JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Dk Mwinyi adhamiria kumaliza changamoto katika elimu

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inakaribia kumaliza ujenzi wa madarasa 5,000 kuondoa zamu mbili kwa wanafunzi nchi nzima na kubakisha zamu moja. Rais Mwinyi amesema leo Januari 9,2024 akifungua rasmi Skuli mpya ya Sekondari Tumekuja iliopo…

Meli za mizigo zaongezeka bandarini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imesema kutokana na maboresho na mikakati inayofanywa na Serikali kumefanikisha kuongezeka maradufu kwa meli za mizigo katika bandari mbalimbali zilizopo nchini hususan katika Bandari ya Dar…

Tani 50,000 za sukari kuingia nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imeruhusu kuingizwa nchini kwa tani 50,000 za sukari kwa mwezi wa Januari na Februari kama njia ya kutatua tatizo la uhaba wa sukari nchini. Waziri wa Kilimo, Hussin Bashe amesema hayo na kueleza kuwa kiwango…

Waziri Saada: Serikali kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kazi kwa vikosi vya SMZ

Na Sabiha Khamis, Maelezo Zanzibar Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Dkt. Saada Mkuya Salum amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya kufanyia kazi vikosi vya SMZ ili  kuendelea kuimarisha ulinzi na usalama nchini. Akizungumza katika ufunguzi…

PICU inavyookoa maisha ya watoto Muhimbili na kutoa mafunzo kwa wataalam nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Uwepo wodi ya watoto wanaohitaji uangalizi maalum (PICU) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili umesaidia kuokoa maisha ya watoto ambao walikuwa wanapoteza maisha hapo awali kutokana na ukosefu wa huduma hiyo. Daktari Bingwa wa Watoto, Dkt….