JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Tanzania yaondolewa kwenye orodha ya madeni makubwa

Tanzania imeanza vizuri mwaka 2024 baada ya kuondolewa kwenye orodha ya nchi zenye madeni makubwa Afrika. Taarifa ya Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) jana iliyotoa orodha ya nchi 10 zenye madeni makubwa Afrika, ilisema kitendo hicho cha Tanzania kuondolewa…

RC Kigoma akabidhi msaada wa sh.mil. 27 Katesh

Na Bryceson Mathias, JamhuriMedia, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi misaada mbalimbali yenye Thamani ya zaidi ya Shilingi Mil. 27 kwa wakazi walioathiriwa na maafa yaliyotokana na mafuriko  yaliyosababisha maporomoko ya tope katika mlima Hanang kata ya…

Serikaki yatambua umuhimu wa wananchi kutoa maoni masuala ya kitaifa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Januari Makamba imesema inatambua umuhimu wa wananchi kushiriki katika maamuzi yanayohusu masuala ya kitaifa na kimataifa ikiwemo utoaji wa maoni kuhusu marekebisho…

Rais Samia aridhia utekelezaji mradi wa maji ziwa Victoria kufikishwa wilayani Ushetu

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Kahama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameridhia kuanza kwa utekelezaji wa kufikisha mradi wa maji wa ziwa Victoria katika Halmashauri ya Ushetu. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameyasema hayo leo…

Wagonjwa kipindupindu waongezeka Shinyanga, viongozi waweka mikakati

Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Wagonjwa wa kipindupindu wameongezeka mkoani Shinyanga kutoka wagonjwa watano na kufikia 18 baada ya wataalamu kufanya vipimo vya kuthibitisha kwa wagonjwa wa kuhara na kutapika 41 mkoani hapa. Hayo ameyasema leo Januari 9, 2024 Mkuu…