JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Makombora ya Urusi lawajeruhi 11 wakiwemo waandishi wa habari Uturuki

Shambulizi kombora la Urusi lililolenga hoteli moja katika mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine wa Kharkiv limejeruhi takriban watu 11, wakiwemo waandishi wa habari wa Uturuki waliokuwa wakiripoti vita hivyo, maafisa wa eneo hilo walisema. Urusi imefanya mashambulizi ya…

TANESCO yaimarisha hali ya upatikanaji umeme Tunduru, Nanyumbu na Masasi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tunduru Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limejidhatiti katika kuhakikisha huduma ya umeme inaimarika kwa wilaya za Tunduru, Nanyumbu na Masasi. Amesema hayo Mkurungenzi Mtendaji wa TANESCO Gissima Nyamo-Hanga tarehe 10 Januari 2024 wakati alipotembelea Kituo kipya cha…

Mbunge Cherehani : Wananchi jitokezeni Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Ushetu-Kahama Wananchi wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2024. Mbunge wa Jimbo la Ushetu mkoani Shinyanga Emmanuel Cherehani ameyasema hayo tarehe jana wakati akizungumza na wananchi wa…

Bil 3.7/- zachangwa kuziwezesha timu za Taifa, Rais Samia achangia mil.500/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya shilingi bilioni 3.7 zimechangwa ikiwa ni fedha taslimu na ahadi katika hafla ya kuzichangia timu za Taifa za Tanzania ambapo kati ya hizo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amechangia shilingi milioni…

Serikali yakutana na taasisi za kifedha kwa nia ya kuwasaidia wafanyabiashara walioathirika na mafuriko Hanang’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hanang Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), kupitia Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu pamoja na Uongozi wa Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Hanangā€™ imekutana wa…