JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

RC Mtaka amshukuru Rais Samia kwa kutoa mbegu ya ngano Makete, Ludewa zaidi ya tani 950.

Na Chrispin Kalinga, JamhuriMedia, Njombe Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka ameongoza mkutano wa pareto na mdau mkuu wa PCT uliofanyika Halmashauri ya Wilaya ya Makete. Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa wilaya ya hiyo wakiwemo Wakurugenzi wa…

Watoto watatu wa famili mbili wafariki kwa kudondokewa na ukuta Shinyanga

Na Suzy Butondo, Jamhuri Media, Shinyanga Watoto watatu wa familia mbili tofauti wamefariki dunia katika kijiji cha Zongomela kata ya Zongomela katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya kuangukiwa na kuta za nyumba waliyokuwemo kutokana na mvua zilizokuwa ziendelea…

Chalamila akabidhi wabunge 10 vifaa tiba vya mil.691/- vilivyotolewa na Serikali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewakabidhi wabunge wa majimbo 10 ya Mkoa wa Dar es Salaam vifaa tiba vya gharama ya shilingi Milioni 691 vilivyotolewa na serikali kwa ajili…

TANESCO: Upatikanaji umeme Mtwara, Lindi kuwa wa historia

Na Cresensia Kapinga , JamhuriMedia, Tunduru Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamhanga amesema kuwa tayari wamemaliza kufunga  mitambo ya kupooza umeme  kama sehemu ya kuboresha umeme katika maeneo ya mikoa ya Mtwara na Lindi ambayo umeme…

Ziara ya Dk Biteko mkoani Mtwara yachangia mitambo iliyosimama kuanza kuzalisha umeme

📌Kituo cha Afya Msimbati chaanza kujengwa 📌Wananchi Songosongo nao hawajasahaulika 📌RC Mtwara amshukuru Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameeleza kuwa, ziara aliyofanya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Biteko…

Makombora ya Urusi lawajeruhi 11 wakiwemo waandishi wa habari Uturuki

Shambulizi kombora la Urusi lililolenga hoteli moja katika mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine wa Kharkiv limejeruhi takriban watu 11, wakiwemo waandishi wa habari wa Uturuki waliokuwa wakiripoti vita hivyo, maafisa wa eneo hilo walisema. Urusi imefanya mashambulizi ya…