JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Polisi yanasa silaha ya kivita, watuhumiwa wafariki kwa kurushiana risasi na Polisi

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi ambao umri wao haujafahamika wamefariki wakati wakisharushiana risasi na askari Polisi waliokuwa doria wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma ambapo inadaiwa walikuwa wakienda kufanya uharifu kijiji cha Msabula Kata ya…

UVCCM Dodoma yawaandaa vijana Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma KATIBU wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Dodoma Mjini Isack Ngongi amewataka vijana kuungana kuhakikisha chama kinashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Ngongi ameyasema hayo leo…

Halmashauri Kuu CCM yaridhishwa na utekelezaji wa mradi wa Bwawa la Umeme JHPP

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya kikao Maalum tarehe 15 Januari, 2024, Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Katibu Halmashauri Kuu ya…

Mnyeti : Maafisa mifugo nendeni kwa wafugaji, acheni kuwa wakusanya mapato

Na Edward Kondela, JamhuriMedia, Dodoma Maafisa mifugo nchini wametakiwa kufanya kazi za udaktari wa mifugo walizosomea na kuwatembelea wafugaji badala ya kuwa wakusanya mapato wa halmashauri. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti amebainisha hayo mjini Dodoma wakati akizindua…

Dk. Nchimbi arithi mikoba ya Chongolo

Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ,imemteua Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye ameshika nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM,Daniel Chongolo aliyejiuzuru nafasi hiyo Novemba mwaka jana. Kamati Kuu imemteua Emmanuel…

Watuhumiwa wa uhalifu 533 wahukumiwa jela

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi-Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kwa mwaka 2023 jumla ya watuhumiwa 533 walihukumiwa Kwenda jela kwa makosa mbalimbali ikiwemo ubakaji na ulawiti huku matukio ya uhalifu yakitajwa kupungua kwa asilimia 12. Akitoa…