JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Watoto 10 kufanyiwa upasuaji Zambia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Watoto 10 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wanatarajia kufanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu ya upasuaji inayofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Moyo ya nchini Zambia. Kambi hiyo ya upasuaji ya siku…

Bunge laipongeza Serikali kwa usimamizi mzuri wa kukabiliana na maafa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu kwa Usimamizi mzuri wa kukabiliana na Maafa nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa…

Wanandoa mahakamani kwa kujeruhi jirani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam Februari 19,2024 inatarajia kuanza kusikiliza kesi ya kujeruhi vibaya na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwani (Maarufu ka Chiku wa Songea) (57), na mke wake Sangita Bharat Nathwani (54), ambao…

Wenyeviti vyama vya upinzani Dodoma walaani mpango wa maandamano CHADEMA

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Zikiwa zimesalia siku tano kufanyika kwa maandamano ya amani yanayoratibiwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni na mapendekezo ya wadau wa Demokrasia nchini,baadhi ya Vyama vya upinzani mkoani hapa vimelaani maandamano…

TEF yawafariji waathirika Kilosa

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), leo limekabidhi msaada wa kiutu kwa waathirika wa mafuriko wilayani Kilosa mkoani Morogoro yaliyotokea hivi karibuni. Msaada huo wa vyakula na nguo za watoto na wakubwa umewasilishwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Jukwaa…