JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Waziri Mkuu ahudhuria mkutano wa NAM

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishiriki ufunguzi wa mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi na Serikali Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM), katika ukumbi wa Ruwenzori, Kampala nchini Uganda, Januari 19, 2024. Waziri Mkuu amemuwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Tanzania, Iran zasaini makubaliano ya kuondoa utozaji kodi mara mbili

Na Scola Malinga, WF, Dar es Salaam Tanzania na Jamhuri ya Kiislam ya Iran zimesani makubaliano ya majadiliano ya Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili baada ya kufanyika kwa majadiliano ya kina kati ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamesaniwa Jijini…

Tanzania yajifunza maandalizi ya AFCON 2027 kutoka Ivory Coast

Na Brown Jonas – WUSM, Ivory Coast  Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ametembelea Uwanja wa Mpira wa Miguu  wa Laurent Pokou uliopo jijini San Pedro nchini Ivory Coast ili kujifunza na kuona  namna ambavyo nchi…

Wizara ya Ardhi yapongezwa maboresho ya kanuni za madalali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo imeipongeza Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Marekebisho ya Kanuni za Uteuzi, Malipo na Nidhamu kwa Madalali wa Baraza na Wasambaza Nyaraka za mwaka…

Jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wake

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato MKAZI wa kijiji cha Katale Buzirayombo Wilayani Chato mkoani Geita,Hassan Ramadhan (29) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mwanaye ya kike mwenye umri wa miaka 12…

Mvua za El Nino ni sababu ya ongezeko la mamba Kasahunga na Mayolo – DC Bunda

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Bunda Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney amesema mvua za El Nino zimekuwa sababu kubwa ya ongezeko la wanyamapori aina ya mamba ambao wamekuwa wakitoka maeneo yao ya asili na kwenda maeneo ya wananchi…